Maabara ya Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Benedicto (SBNRHL) ina sehemu sita 6 kitaalam; Hematology, blood transfusion, parasitology, clinical chemistry, serology na microbiology.
SBNRHL ilianzisha QMS na hivyo kukidhi matakwa ya ISO 15189 katika kutoa huduma zake.Maabara yetu pia inajihusisha na shuguli za utafiti na program za mafunzombalimbali.
SBNRHL ina vifaa vya kisasa na wataalamu waliobobea tena wenye bidii ya kufanya kazi katika mazingira yeyote yale. Maabara ilitunukiwa tuzo ya ISO 15189 mwaka 2012 na SADCAS, katika sekta za Mycobacterium,Tuberculosis,Microbiology,Clinical chemistry,Parasitology na Hematology.